Friday, 21 June 2019

TAARIFA YA JESHI LA POLISI TZ KUHUSU LOSS REPORT


      Jeshi la polisi nchini Tanzania limetoa tamko kwa wananchi wenye matatizo ya kupotelewa na mali zao. Jeshi hilo limeazimia kupunguza usumbufu na changamoto kwa raia kwa kuboresha uendeshaji wa huduma zao kwa wananchi.

     Jeshi la polisi limezindua mfumo mpya ambao utakua mwarobaini juu ya huduma ya loss report, ambapo jeshi hilo limewataka raia kutumia tovuti ya
 https://www.lormis.tpf.go.tz ambapo raia ataweza kujihudumia mwenyewe online kabla ya kwenda kituo cha polisi.


No comments:

Post a Comment