Tuesday, 11 June 2019

Elimu ya kijinsia

Sote ni wanadamu haijalishi umezaliwa mwanaume ama mwanamke, cha msingi tuheshimiane na kuacha kunyanyasana sababu ya jinsia. Hakuna jinsia ambayo ndiyo inapaswa kufanya kazi zote, tuasaidiane majukumu.

1 comment: